Uislamu nchini Uganda

Msikiti wa Taifa Uganda ni moja kati ya misikiti mikubwa mno katika eneo la Afrika ya Jangwa la Sahara.
Uislamu kwa nchi

Uislamu nchini Uganda umekadiriwa kuwa ni asilimia 12 tu ya wakazi wote wa nchini humo hasa kwa hesabu waliofanya ya sensa ya mwaka wa 2002.[1] Sehemu kubwa ya Waislamu wa nchini humo ni wale wanaofuata dhehebu la Sunni. Wapo kiasi pia Shia na Ahmadiyya.[2]

  1. "2002 Uganda Population and Housing Census - Main Report" (PDF). Uganda Bureau of Statistics. Iliwekwa mnamo 2008-03-26.
  2. "The World's Muslims: Unity and Diversity" (PDF). Pew Forum on Religious & Public life. Agosti 9, 2012. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-10-24. Iliwekwa mnamo Agosti 14, 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search